- Elius' Letters
- Archive
- Page 1
Archive
Kwanini Siku Hizi Huna Wateja Wengi Bila Kujitangaza kwa Kulipia Matangazo?
Miezi michache ilopita nilianzisha Program ya Marketers "Lunch and Learn" Kukutana na Online Entrepreneurs, Coaches, Consultants na Wateja wangu for Lunch, kujifunza pamoja na kushare Ideas kuhusu Kupata wateja (Customer Acquisition), Kila mmoja malalamiko yalikuwa, yanahusu kupata wateja bila kutumia ADs. Na leo ntakueleza kwanini.

Bila AI, Biashara Yako Inaweza Kufilisika Hivi Karibuni (Tumia Hizi FREE tools)
Wakati vijana walioajiriwa wanatetemeka kwamba AI itarahisisha mambo na kuchukua Ajira zao, wajasi tunafurahia hii 'tekinojya' kwasababu AI ni Intern wa bei rahisi kabisa ambaye hachoki wala halipwi mshahara (Lakini huwezi kumtuma mihogo). Na leo ntakuoenesha faida za kutumia AI, na ntakupatia tools 50 uchague ipi ya kutumia kwenye Biashara yako.

006: Hili Technique Moja Kwenye Sponsored Ads Itakuongezea Mauzo (Sio Budget)
Mjasi, leo kwenye hii barua, nitakueleza hii technique kwa undani kabisa—halafu nitakupatia checklist ya vitu 10 vya kufanya mara moja na ninakuhakikishia kila tangazo unalorusha linafanya kazi kweli kama ukifuata masharti ya Mganga (mimi) haha.

028: How to Sell Without Selling: The Psychology of Effortless Persuasion
Fikiria kampuni kama Apple. Hawakushawishi watu kwa bei za chini au matangazo ya kulazimisha. Badala yake, walijenga hadithi ya brand, wakafanya bidhaa zao zijisikie exclusive, na wakaruhusu watu wahisi wanataka kuwa sehemu ya hiyo brand.

Njia Smart Zaidi Kuanzisha Biashara: Jenga Ukiwa Bado Kwenye Ajira
Mara nyingi mtu akiacha kila kitu na kujenga biashara yake bila kutegemea kitu kingine kama nilivyofanya mimi, unakuwa na Do or Die mindset... kwamba lazima hii biashara ikubali. Lakini Wale wanaobuild biashara wakiwa kazini wanapata advantage kubwa kuliko wale wanaorisk kila kitu:

Jinsi Budget Ndogo inaweza kuleta Matokeo Makubwa (If You Know What You're Doing)
Sio lazima uwe na $100 kwa siku kuanza kuona movement kwenye brand yako.Hata $4.55 kwa siku inaweza kukuletea traction — kama unajua unachofanya baadhi ya ads zetu zilizofanya vizuri, zilikuwa na budget ya 2$ tu kwa siku.

4 Seasons of your Buisiness (Jua cha Kufanya)
Na kama uko kwenye biashara, lazima utajua — not every season is for harvesting. Sio kila mwezi ni mwezi wa faida. Let me break it down for you — the four seasons of your business, and how to respect your current season instead of forcing harvest in winter.
