Archive
175. Jinsi ya Kutengeneza Client Funnel kwa Kutumia AI
Leo nakuonesha jinsi Biashara kubwa duniani hazifanyi kazi kwa kubahatisha. Wanatengeneza funnel, safari ambayo mteja anapitia hatua kwa hatua, kutoka stranger mpaka kuwa loyal buyer. Na leo, wewe pia unaweza kuifanya hiyo safari iwe rahisi kwa kutumia AI.

AI Personal Branding Masterclass: Jinsi ya Kujenga Brand Inayokuletea Wateja Daily kwa 3 Months tu
Kwa nini njia ya zamani ya personal branding kwenye Social Media zimechoka, na jinsi AI inavyokuwezesha kukwepa struggle ya ushindani hasara kwenye Matangazo ya kulipia na kujenga legacy brand ndani ya siku 90. Tizama Full training hapa chini

278: Step-by-Step: Kugeuza Content Isiyouza Kuanza Kuleta Mauzo Haraka
Mjasi, nakuandikia hii barua leo kwasababu nimeona Wajasiriamali wengi wanakaa na kujiuliza kwanini content zao hazibadiliki kuwa mauzo, leads, au hata DM zenye maana. Na mara nyingi, tatizo sio kwamba bidhaa yako haivutii, lakini kwa Experience yangu ya kufanya kazi na wataalamu nimegundua ni content zako tu zenyewe hazifanyi kazi yake. Na ntakuonesha mambo 5 ambayo huwa tunafanya.

Kwanini Siku Hizi Huna Wateja Wengi Bila Kujitangaza kwa Kulipia Matangazo?
Miezi michache ilopita nilianzisha Program ya Marketers "Lunch and Learn" Kukutana na Online Entrepreneurs, Coaches, Consultants na Wateja wangu for Lunch, kujifunza pamoja na kushare Ideas kuhusu Kupata wateja (Customer Acquisition), Kila mmoja malalamiko yalikuwa, yanahusu kupata wateja bila kutumia ADs. Na leo ntakueleza kwanini.

Bila AI, Biashara Yako Inaweza Kufilisika Hivi Karibuni (Tumia Hizi FREE tools)
Wakati vijana walioajiriwa wanatetemeka kwamba AI itarahisisha mambo na kuchukua Ajira zao, wajasi tunafurahia hii 'tekinojya' kwasababu AI ni Intern wa bei rahisi kabisa ambaye hachoki wala halipwi mshahara (Lakini huwezi kumtuma mihogo). Na leo ntakuoenesha faida za kutumia AI, na ntakupatia tools 50 uchague ipi ya kutumia kwenye Biashara yako.

006: Hili Technique Moja Kwenye Sponsored Ads Itakuongezea Mauzo (Sio Budget)
Mjasi, leo kwenye hii barua, nitakueleza hii technique kwa undani kabisa—halafu nitakupatia checklist ya vitu 10 vya kufanya mara moja na ninakuhakikishia kila tangazo unalorusha linafanya kazi kweli kama ukifuata masharti ya Mganga (mimi) haha.
